Waziri Mahiga akutana na Mabalozi wa Tanzania nchini Oman, Korea, Kampala,Uganda, Kenya, Algeria, Qatar na Sudan. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb) akizungumza na Mabalozi wanao kwenda kuiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali, mazungumzo hayo yalifanyika leo katika Ofisi za Wizara Jijini Dar es Salaam.
Waziri Mahiga akutana na Mabalozi wa Nchi Mbalimbali Waoiwakilisha Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb) akizungumza na Mabalozi wanao kwenda kuiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali (hawapo pichani), mazungumzo hayo yalifanyika leo katika Ofisi za Wizara Jijini Dar es Salaam.

